News

Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026.
DILI la beki Kevin Mondeko kutua Yanga limeingia mwiba, huku tetesi zikisema kilichomponza ni suala la nidhamu iliyowakimbiza ...
TIMU ya Independiente Santa Fe, imeonyesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji wa Azam FC raia wa Colombia, Jhonier Blanco kwa ...
KAMA ulikuwa na fikra kwamba Clatous Chama ndio basi tena katika Ligi Kuu Bara, basi pole kwani kiungo mshambuliaji huyo bado ...
HATIMAYE kipa Ali Ahamada ambaye alikuwa akiichezea KMC kwa mkopo akitokea Azam FC amefunga ukurasa wake wa kucheza soka la kulipwa nchini baada ya kumaliza mkataba wa miaka mitatu.
UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na kocha Mkenya Francis Baraza kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili akipishana na Fredy ...
PAMBA Jiji imekamilisha dili la usajili wa beki wa Fountain Gate, Amos Kadikilo, huku kiongozi wa klabu hiyo akifichua kila ...
MASHUJAA imefanikiwa kunasa saini ya kiungo wa Kagera Sugar, Samwel Onditi kwa kumpa mkataba wa miaka miwili, mabosi wa klabu hiyo wamethibisha.
Ligi mbalimbali duniani zimekwisha, hivi sasa wachezaji wengi wako mapumziko huko mawakala wa wachezaji wako makini kusubiria timu zinazowataka wachezaji hao.
WIKI iliyopita, nchini Ghana lilifanya kongamano la kuwakumbusha wanamichezo walioiletea heshima nchi hiyo na kuwapa zawadi mbalimbali.
MSIMU ujao kwa mara ya kwanza Singida Black Stars itaiwakilisha Tanzania katika michuano ya kimataifa na itashiriki Kombe Shirikisho Afrika.
ZIMEBAKI siku tisa tu kabla ya kuanza rasmi kwa michuano ya Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024 inayofanyika katika nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda.